Pages

Friday, 3 June 2016

Manji aivimbia TFF na Baraza la Michezo


Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Yanga anayemaliza muda wake, Yusuf Manji, amegomea mchakato wa awali wa uchaguzi ulioandaliwa na Baraza la Michezo Tanzania (BMT) na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF).

Akizungumza jana kabla ya kuchukua fomu, alisema hawezi kwenda kuchukua fomu za uchaguzi TFF aliodai wanataka kumhujumu.

Akizungumza klabuni hapo, Manji alifichua hujuma mbalimbali zilizokuwa zikipangwa kumhujumu katika mchakato wa uchaguzi uliokuwa chini ya TFF.


Khatimu Naheka, Mwananchi

Related Posts:

  • Simba yatakata TAIFA huku Yanga ikifungwa MKWAKWANI Simba leo imezidi kuwapa raha mashabiki wake baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 4 - 0 dhidi ya African Sports uwanja wa Taifa Dar es salaam, huku Yanga ikilala kwa mabao 2 - 0 mbele ya Coastal Union uwanja wa Mkwakwani … Read More
  • Niyonzima rasmi Yanga Sakata la Niyonzima kufukuzwa Yanga limechukua mwezi mmoja kabla ya wiki iliyopita kumalizana na kiungo huyo kuomba radhi ili aweze kurejeshwa kikosini. Yanga ilitangaza kuvunja mkataba na Niyonzima kwa madai kwamba … Read More
  • Yanga yatinga nusu fainali Mapinduzi Cup Mabingwa wa Tanzania Bara Timu ya Yanga, wamefanikiwa kutinga hatua ya Nusu fainali kufuatia ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Mtibwa mabao ambayo yamefungwa na wachezaji Aboubakar na Malimi Busungu na kuwa kinara wa kundi … Read More
  • Jonesia kuamua Simba na Yanga MWAMUZI Jonesia Rukiyaa wa mkoani Kagera, amepewa jukumu la kuchezesha mechi ya watani wa jadi Simba na Yanga, katika mchezo wao unaotarajiwa kuchezwa  Jumamosi hii Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Mwamuzi huyo m… Read More
  • Mayanja asuka mkakati kuimaliza Yanga KOCHA wa Simba, Jackson Mayanja, amesema anaandaa mbinu mpya ili aweze kuifunga Yanga katika mchezo wao wa mzunguko wa pili wa Ligi Kuu Tanzania Bara utakaochezwa Jumamosi hii katika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. M… Read More

0 comments:

Post a Comment

Want to comment? write down here