Pages

Friday, 3 June 2016

Manji aivimbia TFF na Baraza la Michezo


Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Yanga anayemaliza muda wake, Yusuf Manji, amegomea mchakato wa awali wa uchaguzi ulioandaliwa na Baraza la Michezo Tanzania (BMT) na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF).

Akizungumza jana kabla ya kuchukua fomu, alisema hawezi kwenda kuchukua fomu za uchaguzi TFF aliodai wanataka kumhujumu.

Akizungumza klabuni hapo, Manji alifichua hujuma mbalimbali zilizokuwa zikipangwa kumhujumu katika mchakato wa uchaguzi uliokuwa chini ya TFF.


Khatimu Naheka, Mwananchi

Related Posts:

  • Ubora, udhaifu Yanga, Azam kimataifa Dar es salaam. Wakati Yanga na Azam zikijiandaa kukabiliana na vigogo vya soka Afrika kutoka kaskazini mwa bara hilo mwezi ujao, timu hizo zitabebwa au hata kuangushwa na washambuliaji, safu zao za ulinzi zinazohit… Read More
  • Yanga yarejea panapopendwa Mfungaji wa bao pekee la Yanga katika mchezo wa jana, Simon Msuva. TIMU ya soka ya Yanga jana ilimaliza mechi zake za viporo vyema kwa ushindi na kurejea kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu Tanzania Bara. Yanga iliibuka … Read More
  • Makocha watambiana ZIKIWA zimesalia siku tatu kabla ya pambano la watani wa jadi Simba na Yanga, makocha wa timu hizo wameonesha kuogopana huku kila mmoja akidai kuheshimu kikosi cha mwenziwe. Yanga imejichimbia Pemba na Simba imejichi… Read More
  • Jonesia kuamua Simba na Yanga MWAMUZI Jonesia Rukiyaa wa mkoani Kagera, amepewa jukumu la kuchezesha mechi ya watani wa jadi Simba na Yanga, katika mchezo wao unaotarajiwa kuchezwa  Jumamosi hii Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Mwamuzi huyo m… Read More
  • Yanga yatangaza raha WAWAKILISHI wa Tanzania Bara katika michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika, Yanga, leo wataikabili Cercle de Joachim ya Mauritius ukiwa ni mchezo wa marudiano hatua ya awali. Katika mchezo wa kwanza ugenini Uwanja wa Ge… Read More

0 comments:

Post a Comment

Want to comment? write down here