Pages

Monday, 15 February 2016

Mayanja asuka mkakati kuimaliza Yanga


KOCHA wa Simba, Jackson Mayanja, amesema anaandaa mbinu mpya ili aweze kuifunga Yanga katika mchezo wao wa mzunguko wa pili wa Ligi Kuu Tanzania Bara utakaochezwa Jumamosi hii katika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

Mayanja ambaye ana rekodi nzuri katika kikosi hicho tangu alipoanza kukifundisha Januari mwaka huu baada ya Dylan Kerr kutimuliwa, amepanga kutumia mbinu mbadala ili waweze kuifunga Yanga na kulipiza kisasi.

Timu hizo zilipokutana katika mzunguko wa kwanza, Yanga ambao ni mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Bara, waliibuka kidedea kwa kuwanyuka watani wao hao mabao 2-0.

Akizungumza na MTANZANIA mjini hapa, Mayanja alisema ameandaa programu kwa ajili ya Yanga kwani anahitaji ushindi ili waweze kujiweka katika mazingira mazuri kwenye msimamo wa ligi hiyo.

Alisema anaamini mchezo huo utakuwa mgumu kutokana na mahasimu wao kupata uzoefu katika michuano ya kimataifa ya Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya juzi kuwafunga wapinzani wao Cercle de Joachim bao 1-0 walipocheza ugenini nchini Mauritius.

Kocha huyo raia wa Uganda, alisema mchezo huo umewasaidia Yanga kujiandaa dhidi yao na atahakikisha atatumia mbinu tofauti kuwakabili watani wao wa jadi baada ya kupata pointi sita katika Uwanja wa Kambarage, Shinyanga.

“Tutatumia mbinu tofauti kabisa ili kuhakikisha ushindi unapatikana, Yanga wanashiriki Ligi ya Mabingwa Afrika michuano ambayo imekuwa ni sehemu ya kujiandaa na mchezo dhidi yetu,” alisema Mayanja.

Simba inatarajia kuweka kambi mjini Morogoro kujiandaa na mchezo huo, ikiwa ni baada ya juzi kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Stand United katika mchezo uliopigwa katika Uwanja wa Kambarage, Shinyanga.

Matokeo hayo yameifanya Simba ifanikiwe kukaa kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu Tanzania Bara, baada ya kufikisha pointi 45 na kuishusha Yanga iliyopo nafasi ya pili ikiwa na pointi 43 huku Azam FC yenye pointi 42 ikishika nafasi ya tatu.

Mtanzania

Arsene Wenger hails Arsenal super-subs Theo Walcott and Danny Welbeck for keeping title dream alive



The Gunners rallied from a goal down at the break to secure a crucial win over the table-toppers in the dying seconds of stoppage time

Arsene Wenger hailed super subs Theo Walcott and Danny Welbeck for keeping Arsenal’s title hopes alive.

Arsenal were 20 minutes away from falling eight points behind Leicester until Walcott and Welbeck struck late on to fire the Gunners to a dramatic win against 10-man leaders Leicester.

Walcott cancelled out Jamie Vardy’s penalty opener before Welbeck – on his ahead-of-schedule comeback from 10 months out with a knee injury - headed a dramatic winner five minutes into added time to send the Emirates wild.

Wenger said: “That game shows you, at that level, the bench plays a big part. When you dominate the games, you can bring on strikers like Walcott or Welbeck, it changes completely your opportunities.

“A loss today would have been massive. After losing you get all the negative vibes, the belief goes down, it would have been much more difficult.


“We would not have given up, but eight points is three games to come back. We would need to win three, they would need to lose three.”

Leicester boss Claudio Ranieri was fuming about Danny Simpson’s dismissal for two yellows in five minutes and also over the timing of Welbeck’s winner.

He said: “I am very angry because maybe I make mistakes but an international referee gives two yellow cards for normal fouls and the match was full of fouls and very difficult fouls.

“When you make one yellow card you have to stay calm, my players but also the referee. In the second half maybe the crowd push a lot and put him under pressure. Also there was four minutes of extra time (signalled) and there was five minutes (played).”

But Ranieri was proud of his players after they finished a daunting run of three games against Liverpool, Manchester City and Arsenal with a battling display at the Emirates and tally of six points.

And, with no game for a fortnight, he has handed his players a week off.

He said: “I said to them ‘go home and we will see you next Monday’ because they deserve it. “They will go, I don’t know where, Dubai maybe, wherever they want. I will have one day in London and then I will go to Rome.”

Mirror

Monday, 8 February 2016

Kocha Mbelgiji asema SAMATTA ana nafasi ya kufanya vizuri akiwa Ubelgiji.

Samatta akiwa katika vyumba vya kubailishia nguo vya timu yake mpya ya Grenk

Kocha bora wa michuano ya Kombe la Chalenji msimu uliopita, Adel Amrouche amesema mshambuliaji Mbwana Samatta ana nafasi ya kufanya vizuri akiwa Ubelgiji.

Samatta raia wa Tanzania, amejiunga na KRC Genk ya Ubelgiji akitokea TP Mazembe, siku chache baada ya kutangazwa mchezaji bora wa Afrika.

Amrouche raia wa Ubelgiji, aliyipa Kenya ubingwa wa Chalenji huku ikiwa na kikosi kinachoonekana hakina makali, amesema Samatta atafanya vizuri kama ataendelea kujiamini, lakini aongeze juhudi.

“Lazima aongeze juhudi, awe msikivu na asione tena kama yuko Afrika ambako alikuwa staa. Sasa ndiyo anaanza upya,” alisema Amrouche mwenye asili ya Algeria aliyewahi kuifundisha Motema Pembe ya Dr Congo.

Amrouche ambaye anasifika kwa kuwainua makocha vijana, alisisitiza Samatta ana kipaji na uwezo mkubwa. Lakini ushindani wa Ubelgiji unakuwa juu, lakini ataweza kupambana.

Tayari nahodha huyo wa timu ya soka ya Tanzania, Taifa Stars amecheza dakika 17 akiwa na kikosi cha Genk.

Salehe Jembe

Premier League weekend: 10 things we learned as Leicester prove why they're title favourites


The Foxes' triumph over Manchester City put the 5000/1 pre-season outsiders in the box seat to win a first Premier League crown

What a weekend!

At home and abroad - a series of results shed light on some things, and cast a looming shadow over others.

Leicester City are undoubtedly the team of the weekend in the Premier League, after going to title favourites Manchester City and coming away with a 3-1 win to go five points clear at the summit.

There was less good news for Gary Neville over in Spain, after he watched his Valencia side slip to a 1-0 defeat at Real Betis - making it 12 league games without a win for the former England defender.

Here are 11 things we learned from the weekend...

1. Mesut Ozil likes playing Bournemouth


By Neil McLeman
The German has scored twice since November – both times against last season's Championship winners.

His craft is just what the Cherries lacked, though most teams could use a £42m playmaker.

2. Lingard has an outside chance for the Euros


By John Cross
Roy Hodgson was at Stamford Bridge to watch what has traditionally been a top of the table clash.

It’s got a different context these days with Chelsea labouring in the bottom half of the table and Manchester United’s main target is simply top four.

But one player to surely have caught Hodgson’s eye must have been Jesse Lingard.

Lingard has scored three important goals recently, against Newcastle, Stoke and now at Stamford Bridge.

His goal at Chelsea was a peach. He controlled the ball, span and fired it into the top corner.

Hodgson got some stick for calling up Lingard a few months ago. If Lingard keeps playing and progressing then no-one will question his next call-up. He might even be in with a chance of the Euros.

3. Ranieri's spirit a joy to watch


By David McDonnell
Even with his side 3-0 up and heading for a six-point lead at the top, Leicester boss Claudio Ranieri was still in the technical area, cajoling and berating his side, his enthusiasm and spirit refreshing to watch, just like his team.

4. Adebayor can be an asset for Palace


By Andrew Gwilym
A first start in over a year was always going to be a challenge for the Togo international, but he did enough to suggest he will be an asset to Palace even if his full debut did not go his way.

Gave away the free-kick for Sigurdsson’s goal, but will get better as he finds his fitness.

5. Norwich spending spree looks wasted


By James Nursey
Promoted City spent £25million on eight new players in January but they are yet to get any return on their investment.

New right-back Ivo Pinto was dropped for this game and Timm Klose looked unsure at the back. Steven Naismith was a willing runner but looked on a different wavelength to team-mates and was subbed.

6. Barkley must be England regular


By David Anderson
Ross Barkley must be key for England at Euro 2016.

Barkley showed what an instinctive genius he is with his backheel in the build-up to the penalty for Everton's first goal and such players are priceless in big tournaments.

7. Spurs are hot off the press


By Mike Walters
As well as having the youngest team in the Premier League, Tottenham also press with the most urgency.

In areas of the pitch where others are happy to yield possession or territory, Mauricio Pochettino preaches emphasis on closing down space and working feverishly to regain the ball.

Harry Kane may be at his best around the box, but he was not too shy to track back 50 yards at full tilt to rob Nathan Ake.

8. How the absence of a manager affects players


By David Maddock
There was little doubt Liverpool were slow out of the blocks here, and not at their usual game of pressing and closing the opposition high up the pitch.

They weren't helped by first half injuries to Dejan Lovren and Joe Allen, which knocked them off their stride further, but it seemed the urgency of Klopp was missing.

9. So Aleksandar Mitrovic can score


By Simon Bird
The Serb needed that goal, after a blank spell and many a missed chance. Mitrovic collected the ball from Shelvey's wonderful pass and kept his cool to slide home under the advanced Ben Foster.

It was a good job Mitro made amends for being offside when Cheick Tiote lashed in a stunning 30 yarder, which was eventually disallowed.

10. England blessed for goalkeepers


By Adrian Kajumba
With Fraser Forster returning from injury looking as sharp as ever and Jack Butland's emergence this season Joe Hart has some genuine rivals pushing him for the England spot.

Forster was heroic against Arsenal in midweek and produced another important save to keep out Winston Reid's first half header.

He also notched a fifth clean sheet in a row since his return.

Mirror

‘Simba Tunataka ubingwa’


BEKI na Nahodha Msaidizi wa Simba, Hassan Isihaka amesema kwa sasa wanafanya vizuri katika Ligi Kuu Bara na mpaka wapinzani wao waje kushtuka tayari watakuwa kwenye ubingwa.

Isihaka alisema kwa sasa Simba wanaota ubingwa tu, hakuna jambo jingfine na kusema kuwa kwa kipindi chote tangu ameanza kuichezea Simba miaka minne iliyopita, inamuuma kuukosa ubingwa na kinachomshangaza, walikuwa wanacheza vizuri ila waliangushwa na bahati.

“Imani yangu ni kwamba msimu huu tutawafuta machozi mashabiki wa Simba kutokana na namna tunavyopata matokeo mazuri tunavyoshinda, maana awali, tulikuwa kama hatuna bahati kila tulipopambana hali ilikuwa ngumu.” Isihaka alisema na kuongeza:“Binafsi ninachokiamini, kufanya kwetu vizuri kasi yetu ni hadi tuchukue ubingwa, kama unavyojua wengine tangu tujiunge, Simba haijawahi kuchukua ubingwa huu.” 

Kuhusu wapinzani wao Yanga na Azam, beki huyo wa kati alisema wala hawaangalii wanafanya nini, akili zao kufanya yao ili kutimiza lengo la kutwaa ubingwa tu

Mwanaspoti