Pages

Sunday, 27 March 2016

CAF: Chad yajiondoa Tz mashakani

Chad imejiondoa kutoka kwenye kinyang'anyiro cha kufuzu kwa dimba la mataifa ya Afrika linalotarajiwa kufanyika mwakani huko Gabon. Shirikisho la soka la Chad limefikia kauli hiyo kutokana na ukosefu wa fedha. Katika barua iliyotumwa kwa shirikisho la soka la Tanzania,mwenyekiti wa shirikisho la soka la Chad Moctar Mahamoud, alisema kuwa hawana fedha za kutosha kufadhili safari ya kwenda Dar Salaam kwa mechi ya marudiano dhidi ya Taifa...

Cristiano Ronaldo 2015/16 ● Skills & Tricks

...

Zlatan Ibrahimovic confirms Premier League interest ahead of potential summer move

The Swedish strike ace is out of contract at French side Paris Saint-Germain this summer and has been tipped for a final fling in England Zlatan Ibrahimovic has admitted he is considering offers to move to the Premier League this summer. Arsenal have been offered the 34-year-old Swedish superstar while Jose Mourinho will move for Ibrahimovic if he gets the Manchester United job. Ibrahimovic is out of contract at Paris Saint-Germain...

Kipa wa zamani wa Simba Dhaira amefariki

Aliyekuwa kipa nambari moja wa timu ya Simba na Uganda Abel Dhaira ameaga dunia. Dhaira mwenye umri wa miaka 28 alikuwa anaugua saratani. Dr. Bernard Ogwel, wa shirikisho la soka nchini Uganda FUFA ameithibitishia BBC kuwa kipa huyo alivuta pumzi yake ya mwisho akiwa Iceland. "Ni jambo la kuhuzunisha sana kuwa Dhaira ametuacha kwetu kama waganda na pia kwa Familia yake'' Dhaira alikuwa amejiunga na klabu ya IBV Vestmannaeyjar ya Iceland...

Ubora, udhaifu Yanga, Azam kimataifa

Dar es salaam. Wakati Yanga na Azam zikijiandaa kukabiliana na vigogo vya soka Afrika kutoka kaskazini mwa bara hilo mwezi ujao, timu hizo zitabebwa au hata kuangushwa na washambuliaji, safu zao za ulinzi zinazohitaji marekebisho makubwa. Yanga itacheza na Al Ahly ya Misri katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika utakaofanyika Aprili 9 kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam wakati Azam itaikabili Esperance ya Tunisia, Aprili 10 kwenye...

Thursday, 24 March 2016

Zlatan Ibrahimovic - The God - Skills & Goals 2015/16

...

Michezo ya kufuzu Afcon kuendelea

Kikosi cha Taifa la Ghana Michezo ya kusaka tiketi ya kushiki michuano ya kombe la mataifa ya afrika mwaka 2017 itayofanyika Gabon itaendelea tena leo Katika kundi A timu ya taifa ya Djibout itakua nyumbani katika uwanja wake wa Djibouty kukipiga na liberia. Ghana maarufu kama the Black Stars walioko kundi H watakua wenyeji wa timu ya  Mozambique wanaofahamika kama Mambas. Comoros watashuka dimbani kuwakabili Botswana huku Madagascar...

9 things Johan Cruyff did before any other footballer

The legendary Dutchman - who has passed away aged 68 - was not just an awesome footballer. He was an innovative one too Johan Cruyff was not just an Ajax, Barcelona and Holland legend. He was a football legend. As one of the greatest talents to ever grace the game, the iconic Dutchman - who has died after losing his battle with cancer - won all manner of awards and medals. But plenty of famous footballers have retired with bulging trophy...

Adam Johnson afungwa jela miaka sita

Mchezaji soka Adam Johnson amefungwa jela miaka sita kwa kushiriki mapenzi na msichana wa miaka 15. Jaji Jonathan Rose amesema mchezaji huyo alitumia vibaya nafasi yake na kumsababishia mwathiriwa wake “madhara makubwa ya kisaikolojia”. Jaji amemwambia Johnson, 28, kwamba alishiriki ngono na msichana huyo akifahamu vyema kwamba alikuwa na umri wa chini ya miaka 16. Imebainika pia kwamba polisi walipata kanda chafu za video zinazohusisha...

Bao la Samatta laibana Chad, Kenya yachapwa

Bao la Mshambulizi wa Taifa Stars lilitosha kuipa Tanzania ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Chad katika mechi ya kufuzu kwa kombe la mataifa ya Afrika. Mkwaju wa Samatta kunako dakika ya 30 ya kipindi cha kwanza ilitosha kuipa Taifa Stars ushindi muhimu ugenini. Kufuatia ushindi huo Taifa Stars ya Tanzania imeimarika na kutoshana nguvu na Nigeria inayoorodheshwa katika nafasi ya pili. Chad nayo imetokomea ikiburuta mkia katika kundi hilo...

Wednesday, 2 March 2016

Chelsea waitumbukiza Norwich hatarini

Norwich wamejipata eneo la hatari Ligi ya Premia baada ya kushindwa na Chelsea wakiwa kwao nyumbani Carrow Road. Norwich walilazwa 2-1 kwenye mechi hiyo iliyochezwa Jumanne jioni, huku Chelsea wakiendelea kupanda kwenye jedwali chini ya meneja Guus Hiddink. Beki wa Blues Kenedy alifunga bao kwa kombora alilochomoa akiwa hatua 20 kutoka kwa goli, baada ya sekunde 39 pekee kuchezwa. Bao hilo ndilo la kasi zaidi kufungwa Ligi ya Premia...