Pages

Wednesday, 17 February 2016

Chelsea wapigwa bao 2 ugenini


 Zlatana Ibrahimovic na Edison Cavan  (pichani juu) wakishangilia ushindi baada ya kuifungia timu yao bao la kwanza na la pili


Klabu ya Paris St-Germain ya Ufaransa jana ilijipatia ushindi dhidi ya Chelsea  katika mechi ya moja ya mzunguko wa  Ligi ya Klabu Bingwa Ulaya .

Siku ya jana ilikuwa mbaya kwa Chelsea  na hadi mwisho wa mchezo waliishia kuchezea kichapo cha  mabao 2-1 .

Paris St-Germain walikuwa wa kwanza kuliona goli la Chelsea  katika dakika ya 39 kupitia mshambuliaji hatari  wa Sweden Zlatan Ibrahimovic .

Kupitia Mikel Obi  ndani ya dakika ya 45 Chelsea nao walifanikiwa kusawazisha  lakini furaha yao ilizimwa katika dakika ya 78  baada ya Edison Cavan  kuongeza bao la pili  bao ambalo lilidumu hadi mwisho wa mchezo na kuwafanya PSG wawe washindi kwa mechi ya jana.


Picha : Mirror

Picha zaidi kuhusu mechi hii fungu hapa

Related Posts:

  • Thierry Henry : Top 10 Best Goals Ever of His Career Thierry Daniel Henry is a retired French professional footballer, who played as a forward. He played for Monaco, Juventus, Barcelona, New York Red Bulls and spent eight years at Arsenal where he is the club's all time… Read More
  • Van Gaal: Hakuna muujiza wa kuokoa Man Utd Meneja wa Manchester United Louis van Gaal amesema hakuna muujiza wa kuimarisha hali ya klabu hiyo na lazima wahusika wote watie bidii. United wamecheza mechi nane bila kushinda hata moja, sita zikiwa ligini, na kush… Read More
  • Moyes: Van Gaal anafaa apewe muda Meneja wa zamani wa Manchester United David Moyes amesema klabu hiyo inafaa kumpa muda zaidi kocha wa sasa Louis van Gaal. Timu hiyo kufanya vyema kwa kucheza michezo minane bila ushindi huku wakitolewa kwenye michua… Read More
  • Welbeck awatakia heri mashabiki wa Arsenal Kenya Mshambuliaji wa Arsenal Danny Welbeck amewatumia salamu za heri ya mwaka mpya mashabiki wa Arsenal walio Kenya kwa niaba ya klabu hiyo. Mchezaji huyo aliyetoka Manchester United mwaka 2014 ametuma ujumbe huo kupiti… Read More
  • Srnicek afariki duniani Golikipa wa zamani wa Newcastle Pavel Srnicek amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 47. Umauti umemfika golikipa huyu baada ya kusumbuliwa na tatizo la ugonjwa wa moyo uliomsumbua kwa muda wa siku nane. Srnicek, en… Read More

0 comments:

Post a Comment

Want to comment? write down here