
Meneja wa zamani wa Manchester United David Moyes amesema klabu hiyo inafaa kumpa muda zaidi kocha wa sasa Louis van Gaal.
Timu hiyo kufanya vyema kwa kucheza michezo minane bila ushindi huku wakitolewa kwenye michuano Ligi ya Klabu Bingwa Ulaya.
Klabu hiyo pia imeshindwa kukaa katika nafasi nne za juu ligini.
"Nina imani wataendelea kushirikiana naye, anastahili kupata muda zaidi. Amewanunua wachezaji nyota na kwa kuzingatia niliyoyaona...