Pages

Thursday, 31 December 2015

Moyes: Van Gaal anafaa apewe muda

Meneja wa zamani wa Manchester United David Moyes amesema klabu hiyo inafaa kumpa muda zaidi kocha wa sasa Louis van Gaal. Timu hiyo kufanya vyema kwa kucheza michezo minane bila ushindi huku wakitolewa kwenye michuano Ligi ya Klabu Bingwa Ulaya. Klabu hiyo pia imeshindwa kukaa katika nafasi nne za juu ligini. "Nina imani wataendelea kushirikiana naye, anastahili kupata muda zaidi. Amewanunua wachezaji nyota na kwa kuzingatia niliyoyaona...

Srnicek afariki duniani

Golikipa wa zamani wa Newcastle Pavel Srnicek amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 47. Umauti umemfika golikipa huyu baada ya kusumbuliwa na tatizo la ugonjwa wa moyo uliomsumbua kwa muda wa siku nane. Srnicek, enzi za uhai wake alivichezea vilabu ya Sheffield Wednesday, Portsmouth na West Ham, huku akidakika timu yake ya taifa ya Jamuhuri ya Czech, michezo 49. Mlinda mlango huyu aliidakia Newcastle jumla ya michezo 190 kuanzia miaka...

Top 10 Craziest Football Skills 2015

...

Fifa kumwokoa Niyonzima

Dar es Salaam. Sakata la kuvunjwa kwa mkataba wa kiungo Haruna Niyonzima na klabu yake, Yanga limechukua sura mpya baada ya kuelezwa kuwa kwa mujibu wa kanuni za Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa), mchezaji huyo anaruhusiwa kujiunga na timu yoyote na kuendelea kuitumikia kipindi hiki licha ya dirisha la usajili kufungwa. Yanga juzi ilitangaza kuachana na Niyonzima kwa madai ya kukiuka mkataba wake, ikiwa zimepita siku 13 baada ya usajili...

Cristiano Ronaldo compares himself to GOD after arrogance jibes: "I'm made to be the best"

The Portugal captain splits opinion with many but claims the negative opinions of others don't keep him awake at night Cristiano Ronaldo has claimed he was "made to be the best" and believes his vast success is partly down to his vanity and arrogance. The Real Madrid and Portugal star splits opinion with general football fans as well as a minority of supporters of his own club. He was jeered by sections of the Bernabeu during the...

Mbwana Samatta amtembelea Waziri nape Ofisini kwake : Aomba baraka kwa serikali

Mhe Nape Nnauye Amfunda Mbwana Samatta ...

Sunday, 27 December 2015

Jose Mourinho wants to manage England if Roy Hodgson steps down after Euro 2016

Mourinho told close confidant and agent Jorge Mendes he would manage England if the opportunity arises next summer Jose Mourinho wants to manage England after the 2016 Euro’s if Roy Hodgson steps down. Mourinho has been linked with taking over at Manchester United and returning to Real Madrid since being sacked by Chelsea ten days ago just seven months after winning the Premier league title at Stamford Bridge. But he’s told close confidant...

Niyonzima asema hana furaha

KIUNGO mshambuliaji wa Yanga, Haruna Niyonzima amesema hana furaha kuwa nje ya Yanga na kuwataka mashabiki kuwa wavumilivu kwani suala lake linatarajiwa kupatiwa ufumbuzi hivi karibuni baada ya kuwasilisha maelezo yake kwa uongozi. Akizungumza na gazeti la Habari leo juzi,  Niyonzima alisema Yanga ni timu yake na ameishi nayo vizuri pamoja na watu wake hivyo anaamini tofauti zao zitamazilika na kurejea kuitumikia. “Yanga ni timu...

Arsenal boss Arsene Wenger rips into ref and insists: “We were unlucky with the first three goals"

Wenger believes that the Gunners should have been given decisions in the build-up to the first three goals as his side lost 4-0 on the south coast Arsene Wenger lashed out at Southampton’s physical approach and blamed the referee after the Gunners ended up as stuffed as the festive bird. But Wenger should look at how his players collapsed under pressure from a vibrant, hungry Saints side in this shock at St Mary’s. Wenger was devastated...

Tambwe hazuiliki, Simba yajikwaa

Dar/Mikoani . Ni nani wa kumzuia Amissi Tambwe? Hilo ni swali linaloweza kuulizwa sasa na mashabiki, hali kadhalika mabeki wa timu pinzani baada ya jana mshambuliaji huyo wa Yanga kuifungia timu yake mabao mawili wakati timu yake ikiiadhibu Mbeya City kwa mabao 3-0, huku mtani wao, Simba ikikwama tena Kanda ya Ziwa. Tambwe alimtungua mabao hayo kipa wa zamani wa timu hiyo na Simba, Juma Kaseja, dakika za 36 na 64, akitumia vyema pasi...

Barcelona star Neymar admits Manchester City are interested in signing him

The 23-year-old has established himself as one of the best players in the world over the last 18 months and he claims City are keen on landing him Neymar has revealed Manchester City are interested in signing him and refused to rule out one day leaving Barcelona. The Brazilian has shone for Barca over the last 18 months and was confirmed on the shortlist for the 2015 FIFA Ballon d'Or in November. He arrived back in Barcelona this weekend...

LVG : Naweza kuondoka mwenyewe Man United

Kocha wa Manchester United Louis van Gaal amesema kuwa anaweza "kujiuzulu mwenyewe" baada ya Stoke City kuwapiga magoli 2-0 katika kichapo chao cha nne mfululizo katika michuano yote. Mholanzi huyo, ambaye anakabiliwa na shinikizo baada ya kusajili mechi saba sasa bila ushindi, aliulizwa katika mahojiano na waandishi wa habari baada ya mechi iwapo ''anahofia kibarua chake kitaota nyasi ?'' Van Gaal, 64, alijibu kuwa hjilo lilikuwa jambo...

Saturday, 26 December 2015

Liverpool wazima Leicester, Man Utd walala

Liverpool wamepunguza kasi ya Leicester kileleni mwa Ligi ya Uingereza baada ya kuwalaza 1-0 uwanjani Anfield. Leicester walikuwa wameenda mechi tisa bila kushindwa ligini na leo imekuwa mara yao ya kwanza kumaliza bila kufunga bao ligini msimu huu. Uwanjani Britannia, masaibu ya meneja Louis Van Gaal yamezidi baada ya Red Devils kucharazwa 2-0 na Stoke City. Meneja huyo amekabiliwa na shinikizo baada ya klabu hiyo kuandikisha msururu...

Wednesday, 23 December 2015

Crazy World Class Football Skills & Tricks 2015-2016

Compilations with crazy world class skills performed by Cristiano Ronaldo, Lionel Messi, Eden Hazard, Neymar Jr, Alexis Sanchez, Angel Di Maria and Luis Suarez on season 2015-2016 ...

Real Madrid ponder snatching Jose Mourinho from Manchester United as Louis van Gaal clings to job

Spanish giants split on taking Special One back to Bernabeu as United dither REAL MADRID are considering making a late big to snatch Jose Mourinho from the clutches of Manchester United. The Spanish giants fear being left with no managerial options to replace Rafa Benitez if Mourinho succeeds Louis van Gaal at Old Trafford. Real president Florentino Perez has sounded out his board to see whether they would welcome taking the Special...