Pages

Monday, 29 February 2016

Marcus Rashford - Manchester United Wonder Kid - Best Goals and Skills



This is a video with Marcus Rashford's goals and skills . In this moment, Marcus Rashford played just 2 matches for Manchester United vs Arsenal and Midtjylland. The rest of the highlights are from U21 Man Utd team.

Manchester United vs Arsenal 3 - 2 Michael Carrick & Marcus Rashford Post Match Interview

Samatta aibeba Genk



Dar es Salaam. Mshambuliaji wa Kimataifa wa Tanzania, Mbwana Samatta amefunga bao lake la kwanza Ulaya wakati timu yake Genk ikichapa Club Brugge kwa mabao 3-2 katika Ligi Kuu Ubelgiji.

Samatta aliyeingia akitokea benchi katika dakika 77, alitumia dakika nne tu kupachika bao lake la kwanza na kuihakikishia timu yake pointi tatu muhimu kwenye Uwanja wake wa nyumbani wa Cristal Arena. Hicho ni kipigo cha kwanza kwa vinara wa Ligi Kuu Ubelgiji, Club Brugge mwaka huu.

Club Brugge ilianza mchezo kwa kasi na kufanikiwa kupata bao la kuongoza kupitia Thomas Meunier, lakini Genk iliamka na kupata bao la kusawazisha kwa mkwaju wa penalti dakika 36 mfungaji akiwa na Nikolaos Karelis, kabla ya Thomas Buffel kuongeza la pili dakika ya 50.

Samatta alipachika bao la tatu kwa wenyeji katika dakika ya 81, Club Brugge ilipata bao la pili kupitia Hans Vanaken katika dakika 83.

Hata hivyo, siku hiyo nzuri ya Samatta iliingia doa baada ya kuonyeshwa kadi njano katika dakika ya 90.

Habari : Mwananchi
Picha na Video : Kwa msaada wa Mtandao

Manchester City mabingwa wa Capital One


Manchester City wameshinda Kombe la Capital One baada ya kuwashinda Liverpool kwenye fainali kupitia mikwaju ya penalti.

Willy Caballero ndiye aliyekuwa shujaa wa Manchester City, akiokoa mikwaju ya Lucas, Philippe Coutinho na Adam Lallana baada ya meneja Manuel Pellegrini kuwa na Imani naye na kumchezesha badala ya kipa nambari wani Joe Hart.

Manchester City walianza kwa kujiweka kifua mbele uwanjani Wembley kupitia bao la Fernandinho baada ya kosa la kipa wa Liverpool Simon Mignolet.

Mshambuliaji wa zamani wa Liverpool Raheem Sterling alipoteza nafasi wazi kabla ya Coutinho kusawazisha dakika za mwisho mwisho.

Mambo yaliisha sare 1-1.
Kwenye mikwaju ya penalti, Fernandinho aligonga mlingoti mkwaju wa kwanza wa City, lakini Jesus Navas na Sergio Aguero walifunga huku Caballero, 34, akiokoa mikwaju ya Liverpool na kutoa fursa kwa Yaya Toure kufungwa mkwaju wa ushindi.

Pellegrini alikuwa amebahatisha sana ikizingatiwa kwamba Caballero hakucheza vyema sana mechi waliyoshindwa 5-1 na Chelsea uwanjani Stamford Bridge raundi ya tano ya Kombe la FA.

Wengi wangetarajia amtumie Hart lakini aliamua kukwama na Caballero, ambaye walifanya kazi naye pamoja alipokuwa meneja Malaga.

Pellegrini ndiye aliyemnunua kipa huyo na kumpeleka Manchester.

Baada ya mechi, meneja wa Liverpool Jurgen Klopp alisema: "Tumevunjwa moyo sana lakini lazima tuinuke na kuendelea. Ni wajinga tu ndio husalia chini na kusubiri wachapwe tena.”
Kwa upande wake, Pellegrini alisema alisikitishwa sana na nafasi ambazo walipoteza muda wa kawaida wa mechi ingawa walicheza vyema muda wa ziada.
“Huu ni wakati muhimu sana kwetu, huwa muhimu sana kushinda kombe ukiwa Wembley."

BBC Swahili

Simba yamalizia hasira Singida Utd

Mshambuliaji wa Simba, Brian Majwega akikwepa mguu wa mchezaji wa Singida United, Ponzi Mgeni wakati wa mechi yao ya Kombe la Shirikisho kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam jana.

SIMBA jana ilimaliza hasira za kufungwa na Yanga kwa Singida United baada ya kuichapa mabao 5-1 na kutinga hatua ya robo fainali ya michuano ya Kombe la FA.

Mechi hiyo ni ya kwanza kwa Simba tangu itoke kupokea kichapo cha mabao 2-0 kutoka kwa mtani wake Yanga katika mechi ya Ligi Kuu bara iliyochezwa kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam Februari 20 mwaka huu.

Simba ilitawala asilimia kubwa ya mchezo wa jana tangu mwanzo wa kipindi cha kwanza na kwenda mapumziko ikiwa mbele kwa mabao 2-0.

Dan Lyanga aliiandikia Simba bao la kuongoza katika dakika ya tatu kabla Hamisi Kiiza hajaongeza la pili katika dakika ya 21.

Kiiza alifunga bao hilo baada ya kipa wa Singida United, Jacton Munna kuanguka ambapo aliuwahi mpira na kuujaza wavuni.

Kiiza aliifungia Simba bao la tatu katika dakika ya 66 kwa kichwa baada ya kuunganisha pasi ya Brian Majwega. Bao la nne la Simba liliwekwa kimiani na Awadhi Juma katika dakika ya 83 na dakika tatu baadae alifunga bao la tano.

United ilipata bao la kufutia machozi katika dakika ya 90 likifungwa na Paul Malamla. Aidha Simba ingeweza kupata mabao mengi jana kama washambuliaji wake wangezidisha umakini kwani walikosa mabao ya wazi mfululizo.

Kiiza alikosa bao dakika ya 13 na Lyanga alikosa dakika ya 16 baada ya wote kupiga mipira nje wakiwa kwenye nafasi nzuri ya kufunga.

Kutoka kwenye uwanja wa CCM Kirumba Mwanza mwandishi Alexandra Sanga anaripoti wenyeji Toto Africans walishindwa kutumia vema uwanja wao baada ya kuchachapwa bao 1-0 na Geita Gold.

Bao la Geita lilifungwa na Chibuga Chibuga katika dakika ya 64 baada ya kupata pasi ya Juma Nade.

 GRACE MKOJERA / HABARI LEO

Man United 3-2 Arsenal: Marcus Rashford's superb double hits Gunners' title hopes - 5 things we learned

Marcus Rashford celebretes scoring  second goal

The 18-year-old scored twice and set up Ander Herrera's third in a phenomenal display, while Mesut Ozil's assist and goal can't save Gunners

Marcus Rashford struck twice and set-up Ander Herrera's third to hand Manchester United a huge win against Arsenal.

Rashford scored twice in three minutes to continue his remarkable week and reignite United's fading top-four hopes and harm the Gunners' title chances.

The first, a flourishing finish, was followed by a glancing header that has seen the 18-year-old local lad take his goal tally to four in two games, following his brace in Thursday's 5-2 Europa League win over FC Midtjylland .

Danny Welbeck scored before half-time to reduce the deficit.

Rashford set up Herrera as Man United added a third, before Ozil kept Arsenal in the game with a fine finish.

Louis van Gaal was finally cheered by the Old Trafford faithful when feigning a dive on the sidelines - a response to Alexis Sanchez.

And there might be a few more cheers after this win. Here's what we learned.

1) Rashford has no fear
Fresh from his two-goal debut heroics in midweek, Marcus Rashford , 18, was United's main man again, scoring twice in three minutes to set up the win, as well as assisting the third.

No fear and a star in the making.

2) Varela proves his worth
Signed by David Moyes and brought back into the fold by Van Gaal, Varela proved his value with a hand in United's opening two goals, while he began the move for the third.

Only blot a caution for tugging back Sanchez.

3) Walcott has a day to forget
Culpable for United's opener, when he lost possession cheaply, Walcott was abject throughout.

Sloppy on the ball and more of a liability than an asset, he was hooked just after the hour.

4) Ramsey lucky not to see red
Ramsey escaped a sending-off, despite shoving Herrera to the ground after the United midfielder scythed into him with a late challenge.

Despite the reckless nature of the foul, Ramsey can consider himself lucky.

5) Van Gaal the fall-guy
Louis van Gaal rarely leaves his seat in the dug-out, but here it was worth the wait, the United boss dropping to the ground in front of the fourth official to mock Sanchez for a perceived dive.




Layer ratings - by John Cross
Manchester United
De Gea 6 - Terrific early block from Monreal showed his value to United.
Varela 7 - Booked. Forgotten man of Moyes’ reign played part in both goals.
Carrick 7 - Booked. Did well as a makeshift centre half. Composed.
Blind 7 - Reads the game well, sees danger and was effective.
Rojo 6 - Feeble attempt to head clear when Welbeck scored.
Schneiderlin 7 - Worked hard, shielded United’s defence to good effect.
Herrera 7 - Booked. Very good passing, his shot deflected for United’s third.
Lingard 7 - Quite lively, provided the cross for Rashford’s second goal.
Memphis 7 - Bit better after his midweek confidence boost after midweek.
Mata 7 - Nice moments of quality in United’s midfield engine room.
Rashford 8 - MotM. What a story. Two goals for United’s new sensation.

Substitutes
Fosu-Mensah, for Rojo, 55 mins, 6
Januzaj, for Rashford, 80 mins

Arsenal
Cech 6 - Not much he could do on any of United’s goals.
Bellerin 5 -Exposed defensively but got very little protection.
Koscielny 5 - Partnership with Gabriel simply does not work. Awful.
Gabriel 5 - Horrible moment on United’s opener. In poor form. Shocking.
Monreal 6 - Had good early chance but was blocked by De Gea.
Coquelin 5 - Yet to rediscover his form since returning from injury.
Ramsey 5 - Booked. In poor form, looks very jaded, lucky not to see red.
Ozil 7 - Perfect free kick for Welbeck’s goal and scored.
Welbeck 7 - Gave everything, scored and was easily Arsenal’s best player.
Sanchez 5 - Where has Sanchez of last season gone? Didn’t track on opener.
Walcott 4 - Hooked early after a very poor game. Made no impact.

Substitutes
Giroud, for Walcott, 63 mins, 6
Elneny, for Coquelin, 73 mins, 5
Iwobi, for Welbeck, 83 mins

Mirror