Pages

Saturday, 16 April 2016

Yanga yarejea panapopendwa

Mfungaji wa bao pekee la Yanga katika mchezo wa jana, Simon Msuva.
TIMU ya soka ya Yanga jana ilimaliza mechi zake za viporo vyema kwa ushindi na kurejea kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu Tanzania Bara. Yanga iliibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Mtibwa Sugar Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam, ikiwa ni mchezo wake wa mwisho wa viporo vyake vitatu ilivyokuwa navyo.

Jumatano Yanga iliifunga Mwadui ya Shinyanga mabao 2-1 katika uwanja huohuo na kabla ya hapo Yanga iliifunga pia Kagera Sugar mabao 3-1. Kutokana na matokeo ya jana, Yanga imefikisha pointi 59 na imechupa kutoka nafasi ya pili hadi ya kwanza ikiiengua Simba yenye pointi 57.

Timu zote zimecheza mechi 24. Hata hivyo Simba inaweza ikarejea kileleni tena leo kama itashinda mchezo wake wa raundi ya 25 dhidi ya Toto Africans utakaofanyika Uwanja wa Taifa Dar es Salaam.

Bao pekee la Yanga katika mchezo huo lilifungwa dakika ya 47 na Simon Msuva kwa shuti la mbali kutokana na mpira wa adhabu ndogo aliopasiwa na Haruna Niyonzima. Adhabu hiyo ilitokana na beki Andrew Vicent kumchezea madhambi Deus Kaseke wa Yanga.

Yanga itajilaumu kwa ushindi mwembamba kutokana na kupoteza nafasi kadhaa za kufunga, ambazo washambuliaji wake wakiongozwa na Donald Ngoma walishindwa kuzitumia.

Nayo Mtibwa ilipata nafasi za kufunga, lakini umaliziaji ulikuwa butu kwa kushindwa kulenga lango ama kupiga mipira dhaifu iliyodakwa na kipa Deogratias Munishi ‘Dida’. Kipigo hicho kimeifanya Mtibwa ibaki nafasi ya nne ikiwa na pointi 43 kwa michezo 26 iliyocheza.

Yanga sasa itaelekea nchini Misri kwa ajili ya kurudiana na Al Ahly Jumatano mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika, ambapo mchezo wa kwanza uliofanyika Jumamosi wiki iliyopita Dar es Salaam timu hizo zilifungana bao 1-1. Yanga: Deogratius Munishi ‘Dida’, Juma Abdul, Oscar Joshua, Kevin Yondan/Malimi Busungu, Nadir Haroub ‘Cannavaro’, Vincent Bossou, Simon Msuva, Thabani Kamusoko, Donald Ngoma, Haruna Niyonzima na Deus Kaseke/ Amissi Tambwe.

Mtibwa Sugar: Said Mohamed, Ally Shomari, Majaliwa Shaaban, Andrew Vincent, Salim Mbonde/Boniface Maganga, Shaaban Nditi, Shiza Kichuya/ Vincent Barnabas, Muzamil Yassin, Ibrahim Rajab ‘Jeba’/Henry Joseph , Suleiman Rajab na Kelvin Friday.

NA MOHAMED AKIDA/ habari leo

Didier Drogba akaribisha uchunguzi


Mshambuliaji wa zamani wa Chelsea Didier Drogba, amekaribisha uchunguzi ufanywe juu ya taasisi yake dhidi ya kile kilichoitwa "wasiwasi mkubwa juu ya udhibiti".

Gazeti la Uingeza limedai kuwa kiasi cha paundi 14,115 nje ya paundi 1.7 ilizochangiwa taasisi ya Didier Drogba kama hisani ndizo zilizosaidia Barani Afrika.

Tume ya taasisi hiyo imefungua kesi kufanya mapitio ya wasiwasi huo dhidi ya utawala la taasisi hiyo,lakini Drogda mwenye umri wa miaka 38 amesema hana mashaka, kwani kila kitu kiko sawa na pesa hizo zinaweza kutumika pale itakabidi kutumika .

Katika makala iliyoandikwa kwenye gazeti hilo linaeleza kuwa paundi 439,321 zilitumika katika sherehe za anasa za kifahari kutafuta fedha ambazo zilihudhuriwa na watu maarufu,na zaidi ya paundi milioni moja zimezuiliwa katika akaunti ya benki.

BBC Swahili

Jose Mourinho tells pals he WILL be Manchester United boss this summer — and lines up Gonzalo Higuain swoop

  • The Special One explained to close friends and French giants PSG last week that he's Old Trafford bound and he wants Napoli's 32-goal striker to join him

Getting Higgy with it: Will Mourinho and Higuain be together at United next season?

Jose Mourinho is so adamant he will be Manchester United manager next season that he has lined up a move for £70million striker Gonzalo Higuain, writes Tom Hopkinson in the Sunday People.

Napoli rate Argentina international Higuain, who has already scored 32 goals for them this season, so highly they have slapped a £95m valuation on him.

But with only two years left on the 28-year-old's current deal, the Serie A title challengers are likely to drop the figure.

Former Chelsea, Real Madrid and Inter Milan boss Mourinho told French champions Paris Saint-Germain and close friends last week that he WILL take over at Old Trafford in the summer.

Louis van Gaal is not expected to hold onto the job, despite his side’s FA Cup quarter-final victory over West Ham.

And Mourinho is already working on targets, including Higuain and Benfica’s young midfield playmaker Renato Sanches.

The Special One was sacked for a second time by Chelsea owner Roman Abramovich in December.

But unlike the first time he was dismissed from Stamford Bridge, in 2007, his exit package did not contain a clause forbidding him to work for another English club within two seasons.

Mourinho said during that second spell at Chelsea that if Abramovich dismissed him again he would stay in England, and he has long harboured hopes of managing the Old Trafford giants.

Now he believes he has got his wish with Van Gaal’s roller-coaster two-year reign drawing to an end.

Mirror

Waamuzi waibana TFF


KAMATI ya Waamuzi wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), imesema kuwa haikubaliani na maamuzi ya Kamati ya Nidhamu ya kuwasimamisha waamuzi waliochezesha mechi za mwisho za Ligi Daraja la Kwanza kati ya JKT Kanembwa FC dhidi ya Geita Gold na Polisi Tabora dhidi ya JKT Oljoro.

Pia kamati hiyo ipo tayari kuwasaidia waamuzi hao waliosimamishwa wakituhumiwa kupanga matokeo iwapo watakuwa tayari kukata rufaa.

Akizungumza na MTANZANIA Jumamosi, Mwenyekiti wa Kamati ya Waamuzi, Salum Chama, alisema kuwa wakati suala hilo likifanyiwa uchunguzi na Kamati ya Nidhamu, hakuna mwamuzi yeyote mkongwe au aliyekuwepo katika kamati yao aliyeitwa ili kutafsiri mipaka na kanuni za kazi zao.

Alisema wao kamati ya waamuzi wamekuja kusikia maamuzi yakitolewa pasipo kushirikishwa jambo ambalo halipo kisheria lakini pia maamuzi yaliyotolewa hayakuwa na haki kwani hakuna ushahidi wa kutosha uliowakamatisha waamuzi hao.

“Kuanzia mwanzo hadi mwisho wa sakata lile hakuna aliyeshirikishwa katika kamati yetu, jambo ambalo kwa upande fulani si haki kwani na sisi tuna sheria na kanuni zetu ambazo tunazitumia uwanjani, lakini pia hadi hivi sasa hakuna ushahidi wa kutosha ni vipi wamekutwa na tuhuma za upangaji matokeo.

“Sisi kamati ya waamuzi, tupo tayari kuwasimamia bega kwa bega  iwapo kama wenyewe wanaona hawakutendewa haki na wakakata rufaa, lakini wakiomba tuwasimamie katika hilo tupo tayari,” alisema Chama.

Hivi karibuni Kamati ya Nidhamu ya TFF chini ya Makamu Mwenyekiti wake Wakili, Jerome Msemwa, iliwafungia maisha kutojihusisha na mpira wa miguu mwamuzi wa mchezo kati ya JKT Kanembwa FC v Geita Gold, Saleh Mang’ola, kamisaa wa mchezo huo, Moshi Juma pamoja na mwamuzi wa mchezo kati ya Polisi Tabora dhidi ya JKT Oljoro, Masoud Mkelemi na mwamuzi wa akiba, Fedian Machunde, waliofungiwa kwa muda wa miaka kumi  pamoja na kutozwa faini ya shilingi milioni kumi kila mmoja baada ya kukutwa na hatia ya upangaji matokeo kwenye michezo hiyo.

NA ZAINAB IDDY/ MTANZANIA

The 13 highest-paid football managers in the world

 13. Laurent Blanc — Paris Saint-Germain
2015-2016 Income: €8 million (£6.4 million; $9 million)
Paris Saint-Germain pays its players a crazy amount of money, and the same goes for its manager. PSG have won the last four domestic titles in France, but its Champions League performances haven't quite matched up to that run. 

 12. Carlo Ancelotti — unattached
2015-2016 Income: €8 million (£6.4 million; $9 million)
The only manager to have won the UEFA Champions League three times, he's due to start a contract with Bayern Munich at the end of the year — but he got £6 million in the meantime as the job was supposed to start this season. 

11. Andre Villas-Boas — Zenit Saint Petersburg
2015-2016 Income: €8.5 million (£6.8 million; $9.6 million)
This Portuguese manager had short tenures at Chelsea and Tottenham before departing to Russia, which he'll also leave after a two-year deal worth more than £13 million. He's still the youngest manager to ever win a European title, earning it with Porto in 2011 when he was just 33. 

10. Louis Van Gaal — Manchester United
2015-2016 Income: €9.5 million (£7.6 million; $10.7 million)
The Dutchman may not have had a great season at Manchester United this year, but he's still one of the most decorated football managers in Europe and continues to rake it in. 

9. Brendan Rodgers — unattached
2015-2016 Income: €10 million (£8 million; $11.3 million)
After spending two years at Liverpool, Rogers was sacked by the club just 10 games into his third season there. Still, he got a nice payoff. 

8. Arsene Wenger — Arsenal
2015-2016 Income: €11 million (£8.8 million; $12.4 million)
Having joined Arsenal way back in 1996, Wenger gets paid over £8 million a year to manage the Gunners. He's taken them to Premier League glory three times and won the FA Cup six times, though some wonder whether it's time for the team to get some fresh blood. 

7. Luis Enrique — Barcelona
2015-2016 Income: €12 million (£9.6 million; $13.5 million)
Enrique won Barcelona the treble in his first season there, and his salary has ballooned accordingly. He also won the 2015 FIFA World Coach award for his troubles, which may see him even higher up the manager pay list next year. 

6. Diego Simeone — Athletico Madrid
2015-2016 Income: €12.5 million (£10 million; $14.1 million)
Simeone won over a hundred caps playing for Argentina before becoming a very well-paid manager. Since coaching Athletico Madrid he's taken them to Europa League and La Liga glory.

5. Jurgen Klopp — Liverpool
2015-2016 Income: €13 million (£10.4 million; $14.7 million)
Klopp took Borussia Dortmund to great success before joining Liverpool in October last year, replacing Brendan Rodgers. Fans have taken his buckets of charisma to their hearts. This week he led Liverpool to an unlikely Europa League win against his old side.

4. Rafael Benitez — Newcastle United
2015-2016 Income: €14.8 million (£11.8 million; $16.7 million)
Speaking of Liverpool, Benitez was there for six years before joining a slew of clubs, including Inter Milan, Chelsea, and Real Madrid. He's now settled at Newcastle for a three-year deal that pays him handsomely. 

 3. Fabio Capello — unattached
2015-2016 Income:  €16.5 million (£13.1 million; $18.6 million)
England fans will recognise Capello, who managed the national team between 2008 and 2012. He needs another job now, having just been sacked by Russia.

 2. Pep Guardiola — Bayern Munich
2015-2016 Income: €16.5 million (£13 million; $18.6 million)
The Spaniard is the current coach of Bayern Munich, which has won the German league for the last three seasons. Manchester City will be hoping he works the same magic there, as he's joining for the next season. 

1. Jose Mourinho — unattached
2015-2016 Income: €24 million (£19 million; $27 million)
The best-paid manager in football is one who was sacked earlier in the season. Chelsea dumped Mourinho after a bad start to the season, and rumours of where he'll go next continue to be one of the biggest talking points in football. In the meantime, continued pay by Chelsea and endorsement deals with Adidas, Hublot, and Alibaba have kept his bank account full.