Pages

Thursday 31 December 2015

Moyes: Van Gaal anafaa apewe muda


Meneja wa zamani wa Manchester United David Moyes amesema klabu hiyo inafaa kumpa muda zaidi kocha wa sasa Louis van Gaal.

Timu hiyo kufanya vyema kwa kucheza michezo minane bila ushindi huku wakitolewa kwenye michuano Ligi ya Klabu Bingwa Ulaya.

Klabu hiyo pia imeshindwa kukaa katika nafasi nne za juu ligini.

"Nina imani wataendelea kushirikiana naye, anastahili kupata muda zaidi. Amewanunua wachezaji nyota na kwa kuzingatia niliyoyaona kule Uhispania, itachukua muda kwa wachezaji hawa kutoka nje kuzoea mchezo Uingereza. Kwa hivyo, nafikiri wanafaa kukwama naye," alisema meneja huyo wa zamani wa Man United.

Moyes amesema bodi ya Manchester United kawaida huwaunga mkono mameneja na anatumaini wataendelea kumuunga mkono.

Kwenye mahojiano na kipindi cha Clare Balding ya BT Sport, Moyes amesema wasimamizi wa Manchester United hawawezi kutaka klabu hiyo iwe ya kubadilisha badilisha mameneja ovyo ovyo.

Van Gaal alichukua mikoba ya ukufunzi kutoka David Moyes Mei 2014 baada ya Moyes kutimuliwa baada ya klabu hiyo kufanya vibaya katika ligi kuu Uingereza na michuano ya bara Ulaya.

Moyes alikuwa ameongoza klabu hiyo kwa miezi 10 pekee baada ya kumrithi meneja wa muda mrefu Sir Alex Ferguson.

Baada ya kuondoka Old Trafford, Moyes alipewa kazi ya umeneja katika klabu ya Real Sociedad ya Uhispania lakini akafutwa kazi Novemba mwaka huu baada ya klabu hiyo kutofanya vyema.

BBC Swahili

Srnicek afariki duniani


Golikipa wa zamani wa Newcastle Pavel Srnicek amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 47.
Umauti umemfika golikipa huyu baada ya kusumbuliwa na tatizo la ugonjwa wa moyo uliomsumbua kwa muda wa siku nane.

Srnicek, enzi za uhai wake alivichezea vilabu ya Sheffield Wednesday, Portsmouth na West Ham, huku akidakika timu yake ya taifa ya Jamuhuri ya Czech, michezo 49.

Mlinda mlango huyu aliidakia Newcastle jumla ya michezo 190 kuanzia miaka ya 1990 mpaka 2007.

Chanzo :  BBC Swahili
Picha : Skysports

Top 10 Craziest Football Skills 2015


Fifa kumwokoa Niyonzima


Dar es Salaam. Sakata la kuvunjwa kwa mkataba wa kiungo Haruna Niyonzima na klabu yake, Yanga limechukua sura mpya baada ya kuelezwa kuwa kwa mujibu wa kanuni za Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa), mchezaji huyo anaruhusiwa kujiunga na timu yoyote na kuendelea kuitumikia kipindi hiki licha ya dirisha la usajili kufungwa.

Yanga juzi ilitangaza kuachana na Niyonzima kwa madai ya kukiuka mkataba wake, ikiwa zimepita siku 13 baada ya usajili wa dirisha dogo kufungwa. Aliyewahi kuwa Mkurugenzi wa Mashindano wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Saad Kawemba akifafanua sakata hilo alisema, Niyonzima ana haki ya kusajiliwa na klabu yoyote ya Ligi Kuu kipindi hiki na akaendelea kucheza kulingana na kanuni za Fifa.

“Mkataba unaweza kuvunjwa wakati wowote inategemea na masharti yaliyomo kwenye mkataba huo, katika soka kwa suala la Niyonzima, huyo ni mchezaji huru, hivyo kanuni za Fifa zinamruhusu kusajiliwa na klabu yoyote na akacheza hata kama dirisha la usajili limeshafungwa.

“Lakini, kwa hapa kwetu tunashindwa kufanya hivyo kutokana na weledi wa viongozi wetu na ikitokea inaweza kusababisha vurugu katika soka letu, lakini ili kuepusha hayo ni vyema kuheshimu mkataba na vipindi vya usajili,” alisema Kawemba.

Imani Makongoro / Mwananchi

Cristiano Ronaldo compares himself to GOD after arrogance jibes: "I'm made to be the best"



The Portugal captain splits opinion with many but claims the negative opinions of others don't keep him awake at night

Cristiano Ronaldo has claimed he was "made to be the best" and believes his vast success is partly down to his vanity and arrogance.

The Real Madrid and Portugal star splits opinion with general football fans as well as a minority of supporters of his own club.

He was jeered by sections of the Bernabeu during the Spanish club's 3-1 win over Real Sociedad, despite netting twice in the victory.

And the 30-year-old believes some people don't warm to him simply because they're jealous of his achievements.

"There are people out there who hate me and who say I'm arrogant, vain and whatever. That's all part of my success. I am made to be the best," Ronaldo told Mundo Deportivo.

"We cannot live being obsessed with what other people think about us. It's impossible to live like that. Not even God managed to please the entire world.

"I have a clear conscience. I sleep well. I feel good helping others, regardless of whether that's with big things or small things. I look at life differently ever since I became a father.

"I can deal with the pressure because of the difficult life I have had. The person I am now is the result of the time I spent without my family and because of the difficult times I went through.

"I was ironing my own clothes when I was 11 years old. My mental strength goes back to those days.

"If this is what I am, if everything I've achieved in football has been for this, I couldn't possibly ask for anything else. If you offer me an improvement, I'd accept it, but change is very complicated."

Earlier this week, Ronaldo's agent Jorge Mendes revealed he expects Ronaldo to retire at Real Madrid, dealing a blow to potential suitors Manchester United and PSG.

Mbwana Samatta amtembelea Waziri nape Ofisini kwake : Aomba baraka kwa serikali

  • Mhe Nape Nnauye Amfunda Mbwana Samatta




Sunday 27 December 2015

Jose Mourinho wants to manage England if Roy Hodgson steps down after Euro 2016


Mourinho told close confidant and agent Jorge Mendes he would manage England if the opportunity arises next summer

Jose Mourinho wants to manage England after the 2016 Euro’s if Roy Hodgson steps down.

Mourinho has been linked with taking over at Manchester United and returning to Real Madrid since being sacked by Chelsea ten days ago just seven months after winning the Premier league title at Stamford Bridge.

But he’s told close confidant and agent Jorge Mendes he would manage England if the opportunity arises next summer and he’s still out of work, writes Steve Bates in the Sunday People.

Ideally the 52-year-old Portuguese coach would like to stay in club management and with Louis van Gaal under pressure at Old Trafford that would be his preferred destination if United ditch the Duthcman.

But Mourinho has already declared he intends to stay living in England with wife Matilde and two children at their London home. And as recently as September he claimed that when he left Chelsea managing England would be high on his wish list of dream managerial jobs.
For now, the FA remain right behind Hodgson and believe the 68-year-old is the right man to lead them in the Euro 2016 Finals in France next summer despite a disastrous 2014 World Cup in Brazil.

But many England fans believe Mourinho is better equipped to develop a system to get the best out of stars like skipper Wayne Rooney and up and coming young guns like Harry Kane, Ross Barkley, Raheem Sterling and 19-year-old Spurs newcomer Dele Alli against the top teams in the world.

England’s emerging talent is seen by many nations as having the potential to win a trophy – and Mourinho believes that too.

That’s why he’s serious about managing the Three Lions and would jump at the chance to lead them to the 2018 World Cup in Russia.

That outcome depends solely on how well or badly England fare under Hodgson in France next summer with senior figures at the FA feeling the squad is capable of reaching the quarter finals after drawing Wales, Slovakia and Russia.

Hodgson’s current England deal runs out after Euro 2016 but so far the FA, wary that Hodgson will be almost 71 when the World Cup begins in Russia, have made no moves to extend his contract.

That’s left the door open for Mourinho - as well as British candidates like Crystal Palace boss Alan Pardew, Sunderland’s Sam Allardyce and former Kop chief Brendan Rodgers.

Hodgson has hinted he’d like to stay on if England sparkle in France – but it’s by no means certain he will.

“If we’re going to discuss any extension to my contract, which actually runs out in the summer, I’d have to sit down and talk quite seriously to the FA and find out exactly what they have in mind," said Hodgson recently,
“Most important of all, I’d want to know that I was welcome. One of the things which has always bothered me is that you can outstay your welcome at places and sometimes it’s better not to do that.

“However, having said that, I have got to also say that it is a really exciting time at the moment, especially with so many young players.

“We have spent quite a lot of time with these players and we really do believe they have great potential, so when the day comes for me to turn my back on it I will miss them, that’s for sure.”

That moment could be after England’s involvement in the Euro’s is over next summer. And, if he’s still free, Mourinho will want the job.

Niyonzima asema hana furaha


KIUNGO mshambuliaji wa Yanga, Haruna Niyonzima amesema hana furaha kuwa nje ya Yanga na kuwataka mashabiki kuwa wavumilivu kwani suala lake linatarajiwa kupatiwa ufumbuzi hivi karibuni baada ya kuwasilisha maelezo yake kwa uongozi.

Akizungumza na gazeti la Habari leo juzi,  Niyonzima alisema Yanga ni timu yake na ameishi nayo vizuri pamoja na watu wake hivyo anaamini tofauti zao zitamazilika na kurejea kuitumikia.

“Yanga ni timu yangu na nimeishi nayo vizuri pamoja na watu wake, lakini sina furaha kwani nimekaa nje kwa muda usiojulikana lakini haya yote ni majaribu na najua ni vitu ambavyo vipo duniani ila naamini yataisha vizuri tu,” alisema.

“Mimi ni binadamu naweza kufanya makosa lakini nawahakikishia wapenzi wa Yanga na wa Niyonzima kwamba hili litaisha siku si nyingi na wataendelea kupata burudani kama ilivyokuwa na zaidi”.

Pia aliwatakia heri Yanga kwenye mchezo wa leo na heri ya Krismasi na Mwaka Mpya 2016 na kuwataka wamalize mwaka 2015 kwa amani. Niyonzima amesimamishwa kwa muda usiojulikana na uongozi wa Yanga kutokana na kuchelewa kurudi kujiunga na timu hiyo baada ya kumalizika kwa mashindano ya Chalenji iliyofanyika Ethiopia ambapo yeye alikuwa akiitumikia timu yake ya taifa ya Rwanda.

Arsenal boss Arsene Wenger rips into ref and insists: “We were unlucky with the first three goals"


Wenger believes that the Gunners should have been given decisions in the build-up to the first three goals as his side lost 4-0 on the south coast

Arsene Wenger lashed out at Southampton’s physical approach and blamed the referee after the Gunners ended up as stuffed as the festive bird.

But Wenger should look at how his players collapsed under pressure from a vibrant, hungry Saints side in this shock at St Mary’s.

Wenger was devastated after his side’s title charge was ­spectacularly derailed on the south coast.

He moaned: “Southampton made the game very physical and we lost too many challenges. That’s why we lost.

“We were unlucky with the first three goals.

“The decisions were all against us, but what can I do about it?

“Shane Long made the game very physical, he got away with too much.”

A brace by Long and goals by Cuco Martina and Jose Fonte gave a previously out-of-sorts Southampton side a superb victory.

Delighted Ronald Koeman praised his players and hit back at Wenger. The Southampton coach said: “Sometimes it’s very difficult to explain why ­something happens.

“It was not about the referee tonight. If you lose 4-0, you can’t talk about the referee.

“It was all about confidence in the team. In the second half we were perfect.

“The game plan was perfect. Shane Long and Saido Mane created a lot of problems. Well done to the boys. Long was very good. He was one of the players who created problems with his movement.”

If the Gunners are to end their painful 12-year wait to be crowned champions, these are really the sort of matches they need to win.

With their rivals taking it in turns to implode, Arsenal were beginning to believe this would be their year.

Heading into this fixture, they had a great chance to leapfrog Leicester into top spot.

But the omens looked bad once Martina opened the scoring with a fantastic strike.

When Ryan Bertrand’s curling cross was half-cleared by Per Mertesacker, there looked to be nothing on for the ex-Twente defender.

He was 30 yards out and the home crowd jokingly urged him to shoot.

The Curaçao international duly unleashed a magnificent strike with the outside of his right boot which curled past Petr Cech to give Koeman’s side a deserved lead.

Just before the end of the first half, Saints almost increased their lead. Mane put Long through but the striker, in for the injured Graziano Pelle, lifted the ball over Cech – and high over the bar.

Long made amends for that miss when he slotted the ball home in the 55th minute.

The Irish forward played a great one-two with Mane before side-footing in from 10 yards.

Wenger was furious – as were his players – because Laurent Koscielny appeared to be fouled by Long.

But it was his own defenders who were on the receiving end of the Frenchman’s moaning when the third Saints goal sailed in.

Bertrand’s corner found skipper Jose Fonte totally unmarked, and the Portuguese defender calmly nodded in.

In the last few minutes, the woodwork denied Long when he slid a side-foot finish past Cech but against the post. Yet the former Hull hitman scored his second goal of a memorable evening in the dying seconds when he broke through to rifle home and complete a disastrous night for the Gunners.

Southampton have had a ­rollercoaster year. Twelve months ago, they were fifth in the league, two points clear of Arsenal. After a dire run the gap is now 15 points.

But it is the Saints who end the year on a high after this sensational victory.

Fonte said: “It was imperative that we had a reaction and we showed passion and ­togetherness to change the bad run we were on.

“The plan before the game was to be ourselves – a hard-working team, quality up front and defending well as a unit.

“We showed we are still a very good team and from now it gives us good confidence to go on a good run.”

Tambwe hazuiliki, Simba yajikwaa


Dar/Mikoani . Ni nani wa kumzuia Amissi Tambwe? Hilo ni swali linaloweza kuulizwa sasa na mashabiki, hali kadhalika mabeki wa timu pinzani baada ya jana mshambuliaji huyo wa Yanga kuifungia timu yake mabao mawili wakati timu yake ikiiadhibu Mbeya City kwa mabao 3-0, huku mtani wao, Simba ikikwama tena Kanda ya Ziwa.

Tambwe alimtungua mabao hayo kipa wa zamani wa timu hiyo na Simba, Juma Kaseja, dakika za 36 na 64, akitumia vyema pasi za Simon Msuva na beki Mwinyi Haji.

Kiungo Mzimbabwe, Thabani Kamusoko alikamilisha furaha kwa mashabiki wa Yanga kwa bao la tatu, dakika ya 66 na kufikisha mabao manne msimu huu.

Kwa idadi hiyo, Tambwe amefikisha mabao kumi akimpindua Elius Maguli wa Stand United ya Shinyanga aliyekuwa akiongoza aliyebaki na mabao tisa.

Shinyanga
Simba ambayo wiki iliyopita ilitoka sare ya bao 1-1 dhidi ya Toto Africans ya Mwanza katika mchezo ambao kocha Dylan Kerr alisingizia ubovu wa Uwanja wa CCM Kirumba uliojaa maji na utelezi kutokana na mvua iliyonyesha muda mfupi kabla ya mchezo huo, jana ililazimika kuchomoa bao dhidi ya Mwadui ya Shinyanga na kuambulia sare na pointi moja.

Kabla ya mchezo huo ambao kocha wa Mwadui, Jamhuri Kihwello ‘Julio’ aliapa kumfukuza kazi kocha wa Simba, Dylan Kerr kwa kipigo, alikaribia kucheka baada ya kiungo Nizar Khalfan kutangulia kufunga bao dakika ya 77. akimalizia kazi nzuri ya kiungo wa zamani wa Azam, Malika Ndeule.

‘Mtoto’ wa Azam, Brian Majwega akicheza mchezo wake wa kwanza akiwa katika uzi mwekundu aliisawazishia timu yake bao, dakika ya 85, akitumia mpira wa kiungo Mwinyi Kazimoto.

Tanga
Stand United ya Shinyanga iligeuka mwenyeji baada ya kuizima Coastal Union kwa mabao 3-1 katika mchezo uliofanyika kwenye Uwanja wa Mkwakwani.

Stand, ambayo moja iliyopita ililambishwa mabao 4-0 na Yanga, ilianza kusaka ushindi kwa bao la Haruna Chanongo, dakika ya 12, akitumia vyema pasi ya Hassan Banda, aliyeipa timu yake bao la pili, dakika ya 44.

Naye Frank Hamis aliiandikia Stand bao la tatu, dakika ya 55, lakini Coastal ilifuta machozi kwa bao la penalti, dakika ya 76 la Mnigeria, Abasilim Chidiebere, likiwa bao lake la kwanza msimu huu.

Msemaji wa Coastal, Oscar Assenga alisema timu yake ilizidiwa na wapinzani wao tangu dakika ya mwanzo na kupoteza mwelekeo, lakini ana imani makocha watarekebisha makosa hayo katika mechi zijazo.

Manungu
Vijana wa kocha Mecky Mazime, waliendelea kutumia vyema uwanja wa nyumbani baada ya kuiadhibu Mgambo JKT ya Tanga kwa mabao 3-0. Mashujaa wao walikuwa kiungo Henry Joseph, dakika ya 16, Said Bahanuzi, dakika ya 48 na Shiza Kichuya, dakika ya 77 ya mchezo huo.

Mtwara
Wenyeji Ndanda waliambulia kipigo cha mabao 3-1 kutoka kwa vijana wa kocha Abdallah Kibaden, JKT Ruvu waliopachika mabao yao kupitia kwa Hamis Thabit, dakika za 24, 37 na Saad Kipanga, dakika ya 63 huku Atupele Green akifunga la kujiliwaza, dakika ya 46 ya mchezo huo.

Imeandikwa na Charles Abel (Dar), Masoud Masasi (Shinyanga), Salim Mohammed (Tanga), Haika Kimaro (Mtwara)
Mwananchi

Barcelona star Neymar admits Manchester City are interested in signing him


The 23-year-old has established himself as one of the best players in the world over the last 18 months and he claims City are keen on landing him

Neymar has revealed Manchester City are interested in signing him and refused to rule out one day leaving Barcelona.

The Brazilian has shone for Barca over the last 18 months and was confirmed on the shortlist for the 2015 FIFA Ballon d'Or in November.

He arrived back in Barcelona this weekend after a short Christmas break and was greeted by reporters with questions about City's interest.

"Yes, yes [I am aware of City's interest]," Neymar responded, before he was further pressed on his long-term future.

Asked whether he will ever leave Barcelona, he added: "I don't know, life is long."

Neymar has scored 16 times in 19 appearances for Barca this season after plundering 39 times last term.

His current Barcelona contract, which he signed when joining the club in 2013, has two-and-a-half years left to run.

Negotiations over a contract extension are currently taking place, with both parties confident a deal will be reached.

LVG : Naweza kuondoka mwenyewe Man United


Kocha wa Manchester United Louis van Gaal amesema kuwa anaweza "kujiuzulu mwenyewe" baada ya Stoke City kuwapiga magoli 2-0 katika kichapo chao cha nne mfululizo katika michuano yote.

Mholanzi huyo, ambaye anakabiliwa na shinikizo baada ya kusajili mechi saba sasa bila ushindi, aliulizwa katika mahojiano na waandishi wa habari baada ya mechi iwapo ''anahofia kibarua chake kitaota nyasi ?''

Van Gaal, 64, alijibu kuwa hjilo lilikuwa jambo analostahili kujibu katika mazungumzo na mkurugenzi wa klabu hiyo Ed Woodward na si vyombo vya habari.

"Si siku zote ambapo ni klabu ndiyo inauwezo wa kufurusha kocha la ''

"Wakati mwingine mimi mwenyewe naweza kuchukua jukumu hilo mwenywe na kuhusiana na hilo sharti niende nifanye mkutano na mamlaka inayosimamia Manchester United safu yangu ya ukufunzi na kisha wachezaji wangu wala sio waandishi wa habari'' alifoka van Gaal.

United imekuwa na msururu wa matokeo duni uliosababisha Red Deivls wakatupwa nje ya Ligi ya Mabingwa katika hatua ya makundi mbali na kuporomoka kutoka kwenye orodha ya nne bora katika jedwali la ligi kuu ya Uingereza.

Van Gaal, aliyechukua nafasi ya David Moyes katika msimu wa 2014, alisema klabu hiyo alimuunga mkono siku zote ila aliongeza: "Tumepoteza hivyo kuna hali mpya.

"Nahisi msaada wa wachezaji wangu na bodi yangu.

Hata hivyo mashabiki wataudhika lakini hiyo inatarajiwa baada ya kushindwa mara nne .

" Van Gaal hafikiri ni muhimu kwamba Woodward haja muunga mkono hadharani .

"Kwangu mimi ni muhimu zaidi kwamba watu wanasema nini kuhusu utendaji kazi wangu " alisema. "Mimi sina haja sana na matamshi ya umma."

BBC Swahili

Saturday 26 December 2015

Liverpool wazima Leicester, Man Utd walala


Liverpool wamepunguza kasi ya Leicester kileleni mwa Ligi ya Uingereza baada ya kuwalaza 1-0 uwanjani Anfield.

Leicester walikuwa wameenda mechi tisa bila kushindwa ligini na leo imekuwa mara yao ya kwanza kumaliza bila kufunga bao ligini msimu huu.

Uwanjani Britannia, masaibu ya meneja Louis Van Gaal yamezidi baada ya Red Devils kucharazwa 2-0 na Stoke City. Meneja huyo amekabiliwa na shinikizo baada ya klabu hiyo kuandikisha msururu wa matokeo mabaya.

Tottenham Hotspur nao wamefufua juhudi zao za kupigania taji la ligi kwa ushindi wa 3-0 dhidi ya Norwich City, wakisaidiwa sana na kipa Hugo Lloris anayesherehekea siku yake ya kuzaliwa leo.

Na uwanjani Stamford Bridge, hakukuwa na habari njema sana kwa kaimu meneja Guus Hiddink baada ya vijana wake wa Chelsea kutoka sare ya 2-2 na Watford.

Mshambuliaji wa Chelsea Diego Costa, aliyewafungia mabao yote mawili pia ameonyesha kadi ya manjano, hii ikiwa na maana kwamba hataweza kuwachezea dhidi ya Manchester United Jumatatu 28 Desemba.

Kiungo wao wa kati Oscar alipoteza nafasi nzuri ya kuwaweka kifua mbele alipoonekana kuteleza na kupoteza mkwaju wa penalti dakika za mwisho za mechi.

Kwa Manchester City uwanjani Etihad, ilikuwa siku ya mavuno, klabu hiyo ikipata ushindi wa 4-1 dhidi ya Sunderland licha ya Wilfried Bony kupoteza mkwaju wa penalti.

Man City ndio wenye nguvu zaidi - Pellegrini
Van Gaal aamini Man Utd watajinasua
19:52 Mechi zinamalizika
  • Chelsea 2-2 Watford
  • Bournemouth 0-0 Crystal Palace
  • Liverpool 1-0 Leicester
  • Man City 4-1 Sunderland
  • Tottenham 3-0 Norwich
  • Swansea 1-0 West Brom
  • Aston Villa 1-1 West Ham

19:50 Jurgen Klopp anaingiza kiungo wa kati Lucas Leiva nafasi ya Philippe Coutinho. Liverpool bado wanaongoza 1-0 dhidi ya Leicester

19:46 Diego Costa anaonyeshwa kadi ya manjano. Hii ina maana kwamba atakosa mechi ya Jumatatu dhidi ya Manchester United uwanjani Old Trafford.

19:44 Mambo yalivyo EPL
  • Aston Villa 1-1 West Ham
  • Bournemouth 0-0 Crystal Palace
  • Chelsea 2-2 Watford
  • Liverpool 1-0 Leicester
  • Man City 4-1 Sunderland
  • Swansea 1-0 West Brom
  • Tottenham 3-0 Norwich

Mechi ya awali:
Stoke 2-0 Man Utd

19:37 BAOOO! Tottenham 3-0 Norwich
Thomas Carroll anaongezea Spurs bao la tatu.

19:37 Chelsea 2-2 Watford
Chelsea wanapata penalti baada ya Hazard, aliyeingia nafasi ya Pedro, kuangushwa eneo la hatari. Oscar anajitokeza. Mkwaju wake unapaa juu na kukosa lango baada yake kuteleza.

19:32 Leicester wanapata nafasi nzuri lakini Mignolet anaokoa Liverpool.

19:27 Leicester wanafanya mabadiliko. Jamie Vardy anatoka na ndani anaingia Nathan Dyer, Leonardo Ulloa naye anaingia nafasi ya Shinji Okazaki.

19:25 Uwanjani Etihad, City wanapata penalti lakini mkwaju wa Wilfried Bony unapaa juu ya lango. Mambo bado ni City 4-1 Sunderland

19:23 BAOOO! Chelsea 2-2 Watford
Diego Costa anasawazishia Chelsea kwa bao lake la pili leo.

19:22 BAOOO! Aston Villa 1-1 West Ham
Jordan Ayew anasawazishia Villa.

19:20 BAOOOO! Liverpool 1-0 Leicester
Christian Benteke anafungia Liverpool.

19:16 BAOOO! Manchester City 4-1 Sunderland
Fabio Borini anakomboa bao moja upande wa Sunderland.

19:14 BAOOOO! Chelsea 1-2 Watford
Watford wanatwaa uongozi Stamford Bridge kupitia Odion Ighalo.

19:10 BAOOOO! Man City 4-0 Sunderland
De Bryune anafunga bao lake binafsi baada ya kuchangia sana katika ufungaji wa mabao hayo mengine.

19:00 Upande wa Swansea, bosi wao wa muda Alan Curtis anaingiza Jack Cork nafasi ya Jefferson Montero.

19:00 Chelsea wanamtoa Ces Fabregas na nafasi yake anaingia Jon Obi Mikel

19:00 Mechi zinaanza kwa kipindi cha pili

18:48 Ni wakati wa mapumziko sasa

18:45 BAOOO! Aston Villa 0-1 West Ham
Aaron Cresswell anafungia West Ham.

18:43 BAOOO! Chelsea 1-1 Watford
Troy Deeney anasawazishia Watford kupitia mkwaju wa penalti baada ya Nemanja Matic kunawa mpira eneo la hatari.

18:42 BAOOO! Tottenham 2-0 Norwich
Harry Kane anafungia Norwich la pili.

18:38 Divock Origi anaumia na kuondoka uwanjani upande wa Liverpool. Nafasi yake anaingia Benteke.

18:30 BAOOO! Chelsea 1-0 Watford
Diego Costa anafungia Chelsea bao la kwanza, baada ya kona kupigwa na Willian.

18:28 Jamie Vardy anapata nafasi kwenye lango upande wa Liverpool. Lakini mpira wake wa kichwa unapitia juu ya wavu.

18:26 BAOOO! Tottenham 1-0 Norwich
Harry Kane anafungwa kupitia mkwaju wa penalti ambayo imetolewa baada yake kuangushwa eneo la hatari.

18:24 Liverpool wanaendelea kushambulia Leicester. Divock Origi anapata nafasi nzuri lakini kipa anaunyaka mpira.

18:23 BAOOO! Manchester City 3-0 Sunderland
Wilfried Bony anaongezea City bao la tatu. Anafungwa kwa kichwa baada ya mkwaju wa adhabu kupigwa na Kevin de Bruyne.

18:18 BAOOO! Manchester City 2-0 Sunderland
Bao la Yaya Toure

18:14 BAOOO! Manchester City 1-0 Sunderland
City wanapata bao la kwanza kupitia Raheem Sterling ambaye amesaidiwa na Kevin De Bruyne

18:09 BAOOO! Swansea 1-0 West Brom
Swansea wanajiweka kifua mbele dhidi ya West Brom kupitia Ki Sung-yuen.

18:06 Liverpool wanashambulia Leicester, lakini kufikia sasa bado hakuna goli. Chelsea nao wameanza vyema lakini juhudi zao bado hazijazaa matunda.

18:00 Mechi zinaanza.

17:55 Kuhusu mechi iliyomalizika dakika chache zilizopita, kuna shabiki aliyefanikiwa kubashiri matokeo na hata wafungaji mabao siku sita zilizopita, 20 Desemba. Utabiri wake kuhusu Van Gaal utatimia?

17:50 Kwingineko, timu zimetangazwa kwa mechi zinazoanza saa kumi na mbili:
Liverpool Simon Mignolet analinda wavu badala ya Adam Bogdan, Divock Origi akiaminiwa na mashambulizi badala ya Christian Benteke.
Chelsea Gary Cahill anaingia nafasi ya Kurt Zouma anayewekwa kwenye benchi. Eden Hazard yuko benchi.
Manchester City, Sergio Aguero na Vincent Kompany wamerejea na wamo kwenye benchi.
Mechi zinazoanza ni:
  • Aston Villa v West Ham 18:00
  • Bournemouth v Crystal Palace 18:00
  • Chelsea v Watford 18:00
  • Liverpool v Leicester 18:00
  • Man City v Sunderland 18:00
  • Swansea v West Brom 18:00
  • Tottenham v Norwich 18:00

17:36 Mechi inamalizika. Stoke City 2-0 Manccchester United

17:28 Anthony Martial anatoa kombora kulenga goli la Stoke. Kipa anautoa mpira nje na inakuwa kona.

17:26 Charlie Adam anapiga mpira wa mbali, hatua 35 kutoka kwenye goli. Unapaa juu ya wavu.

17:25 Andreas Pereira anaonyeshwa kadi ya manjano kwa kufanya madhambi.

17:20 Andreas Pereira anaingizwa nafasi ya Ander Herrera upande wa Man Utd.

17:09 Mame Biram Diouf anaingia nafasi ya Xherdan Shaqiri upande wa Stoke.

17:05 Marouane Fellaini anapata nafasi nzuri eneo la hatari baada ya kupata mpira kutoka kwa Rooney. Mpira wake unaokolewa na kipa.

17:03 Ashley Young anajaribu kupenyeza mpira, lakini Wayne Rooney ameotea.

16:52 Bojan wa Stoke anapewa kadi ya njano kwa kujiangusha.

16:50 Ander Herrera anashindia Man Utd frikiki.

16:49 Mchezo unaanza tena.

16:48 Kipindi cha pili. Van Gaal anamtoa Memphis Depay na kumuingiza nahodha Wayne Rooney. Upande wa Stoke, Marco Van Ginkel anaingia nafasi ya Glenn Whelan.

16:33 MAPUMZIKO Stoke City 2-0 Manchester United

16:31 Mata anatuma krosi nzuri eneo la hatari. Unatwaliwa na kipa.

16:25 Mechi inasimamishwa kwa muda. Marko Arnautovic wa Stoke anaonekana kuumia.

16:20 Arnautovic anapata nafasi nzuri. Anatoa kombora kali, lakini mpira unakosa wavu.

16:19 Pieters anaondoka uwanjani. Mechi inaanza tena.

16:18 Mechi inasimamishwa kwa muda. Erik Pieters anaonekana kuumia.

16:13 Man Utd wanapata nafasi eneo la hatari la Stoke. Fellaini anatoa kombora lakini tayari ameotea.

16:13 Man Utd wanashambulia. Ander Herrera anajishindia frikiki.

16:10 BAOOOO! Stoke City 2-0 Man Utd
Marko Arnautovic anafungia Stoke la pili.

16:09 Mpira wa Arnautovic unagonga mkono wa Ashley Young. Stoke wanapata frikiki.

16:04 BAOOOO! Stoke City 1-0 Manchester United
Bojan anafunga kwa guu la kulia baada ya kusaidiwa na Glen Johnson.

16:02 Mephis Depay anapata mpira eneo la hatari, lakini mpira wake unaenda moja kwa moja hadi mikononi mwa kipa wa Stoke.

15:56 Glenn Whelan anajishindia frikiki. Marko Arnautovic anapiga mkwaju lakini unakosa lango.

15:55 Manchester wanapata nafasi. Ander Herrera anapata mpira eneo la hatari na kutoa kombora ambalo linalenga goli. Kipa Jack Butland anaokoa.

15:50 Geoff Cameron anajaribu kupenyeza mpira, lakini Marko Arnautovic ameotea.

15:47 Marko Arnautovic anachomoka na kutoa pasi safi kwa Xherdan Shaqiri, krosi yake inapitia mbele ya goli. Stoke wanajikwamua na kupata kona. Lakini haizai matunda.

15:45 Mechi inaanza. Mata ananawa mpira.

15:40 Michael Carrick anaongoza wachezaji wa Utd kuingia uwanjani. Wachezaji sasa wanajiandaa kuanza mechi.

15:30 Wachezaji XI wa kuanza mechi ya Man Utd v Stoke City wametangazwa. Nahodha wa United Wayne Rooney amelishwa benchi. Michael Carrick ndiye atakayekuwa nahodha wa Utd leo
Manchester Utd XI: De Gea, Young, Jones, Smalling, Blind, Carrick, Herrera, Mata, Fellaini, Depay, Martial
Benchi: Rooney, Romero, Schneiderlin, Varela, McNair, Borthwick-Jackson, Pereira
Stoke City XI: Butland, Johnson, Shawcross, Wollscheid, Pieters, Cameron, Whelan, Shaqiri, Afellay, Arnautovic, Krkic. Benchi: Joselu, Wilson, Van Ginkel, Adam, Diouf, Walters, Haugaard.

15:29 Hujambo? Leo ni 26 Desemba, siku ya Boxing Dei na klabu zote EPL zinashuka dimbani Manchester United wakitangulia ugani Britannia huku kila timu ikipania kumaliza mwaka katika nafasi nzuri.
Karibu kwa matangazo ya moja kwa moja.
Mechi zinazochezwa leo ni kama ifuatavyo:
Mechi za Jumamosi 26 Desemba (Saa za Afrika Mashariki)
  • Stoke v Man Utd 15:45
  • Aston Villa v West Ham 18:00
  • Bournemouth v Crystal Palace 18:00
  • Chelsea v Watford 18:00
  • Liverpool v Leicester 18:00
  • Man City v Sunderland 18:00
  • Swansea v West Brom 18:00
  • Tottenham v Norwich 18:00
  • Newcastle v Everton 20:30
  • Southampton v Arsenal 22:45
BBC Swahili

Wednesday 23 December 2015

Crazy World Class Football Skills & Tricks 2015-2016

Compilations with crazy world class skills performed by Cristiano Ronaldo, Lionel Messi, Eden Hazard, Neymar Jr, Alexis Sanchez, Angel Di Maria and Luis Suarez on season 2015-2016

Real Madrid ponder snatching Jose Mourinho from Manchester United as Louis van Gaal clings to job

  • Spanish giants split on taking Special One back to Bernabeu as United dither


REAL MADRID are considering making a late big to snatch Jose Mourinho from the clutches of Manchester United.

The Spanish giants fear being left with no managerial options to replace Rafa Benitez if Mourinho succeeds Louis van Gaal at Old Trafford.

Real president Florentino Perez has sounded out his board to see whether they would welcome taking the Special One back to the Bernabeu.

And though officials are split, Perez fears being left short of a replacment if the club finally decide to sack under—pressure Benitez.

United have lined up Mourinho to take charge when they put Van Gaal out of his misery, and they have received assurances he would be willing to accept their offer.

But with a shortage of top class managers around, Real fear being backed into a corner if the don’t act swiftly to get someone in place to take over from Benitez.

The former Liverpool boss is under increasing pressure in Spain, with talk of player unrest at his tactics and team selection.

The supporters turned on him when they went 2-1 down against Rayo Vallecano, and there was a still a feeling of resentment among them even though Real went on to win trhe game 10-2.

Cristiano Ronaldo is understood to have been fuming at the whistling from the stands during the game, and that he got abuse himself after trying to remonstrate with them.

Perez and other Madrid officials are aware Benitez is not popular among the rank and file, and though he publicly backed his manager last week there are suggestions he could be axed by the end of the month.

The views of Ronaldo and Sergio Ramos are hugely important at the club, and both have been left unimpressed by some of the decisions Benitez has taken.

The pair didn’t want Carlo Ancelotti to leave at the end of last season, and they were both disappointed to see him snapped up by Bayern Munich this week.

With Jurgen Klopp at Liverpool, Pep Guardiola Manchester City—bound and Diego Simeone a non-stater because he manages city rivals Atletico, Mounrinho is the only recognised world class manager open to Real.

Zinedine Zidane is the club’s youth team coach but it is thought he needs another season or two in charge of B-team Castilla before he is really ready to assume such a challenging role.

Yet Ronaldo and Ramos would both need convincing themselves that Mourinho is the right fit for Real, as they each had their own problems with the Portuguese in his previous three yeat stay at the club.

Perez is confident he can iron out those differences and would be willing to go out on a limb to try to tempt Mourinho back.

If the Spaniards do make a move, it would increase the pressure on United to make a decision of their own.

They have been reluctant to swing the axe on Van Gaal but are aware they cannot allow the alarming slump in form to continue much longer.

And they also know, like Real, that if they wait too long they could be looking around desperately trying to find a coach with the right credentials to take charge.