Pages

Thursday 24 March 2016

Michezo ya kufuzu Afcon kuendelea

Kikosi cha Taifa la Ghana

Michezo ya kusaka tiketi ya kushiki michuano ya kombe la mataifa ya afrika mwaka 2017 itayofanyika Gabon itaendelea tena leo

Katika kundi A timu ya taifa ya Djibout itakua nyumbani katika uwanja wake wa Djibouty kukipiga na liberia.

Ghana maarufu kama the Black Stars walioko kundi H watakua wenyeji wa timu ya  Mozambique wanaofahamika kama Mambas.

Comoros watashuka dimbani kuwakabili Botswana huku Madagascar akipimana ubavu na timu ya taifa ya Jamuhuri ya Africa ya kati.

0 comments:

Post a Comment

Want to comment? write down here